1
Matendo ya Mitume 16:31
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
wakasema: Mtegemee Bwana Yesu! Ndivyo, utakavyookoka wewe nao waliomo nyumbani mwako.
Linganisha
Chunguza Matendo ya Mitume 16:31
2
Matendo ya Mitume 16:25-26
Lakini usiku wa manane Paulo na Sila wakamwomba Mungu na kumwimbia, wafungwa wenzao wakiwasikiliza. Papo hapo nchi ikatetemeka sana, hata misingi ya kifungo ikatikisika; mara milango yote ikafunguka, hata minyororo yao wote ikakatika.
Chunguza Matendo ya Mitume 16:25-26
3
Matendo ya Mitume 16:30
Alipowapeleka nje na kuwauliza: Bwana zangu, inayonipasa kuyafanya, nipate kuokoka ndiyo nini?
Chunguza Matendo ya Mitume 16:30
4
Matendo ya Mitume 16:27-28
Mlinda kifungo akazinduka, akaona, milango ya kifungo iko wazi, akachomoa upanga, akataka kujiua, kwani alidhani, wafungwa wametoroka. Lakini Paulo akamkemea na kupaza sauti akisema: Usijifanyie kiovu! Kwani sisi sote tupo hapa.
Chunguza Matendo ya Mitume 16:27-28
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video