1
Zaburi 150:6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Kila kiumbe hai kimsifu Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mwenyezi-Mungu!
Linganisha
Chunguza Zaburi 150:6
2
Zaburi 150:1
Msifuni Mwenyezi-Mungu! Msifuni Mungu katika patakatifu pake; msifuni katika mbingu zake kuu.
Chunguza Zaburi 150:1
3
Zaburi 150:2
Msifuni kwa sababu ya matendo yake makuu; msifuni kwa ajili ya utukufu wake mkuu.
Chunguza Zaburi 150:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video