1
Methali 8:35
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Anayenipata mimi amepata uhai, amepata upendeleo kwa Mwenyezi-Mungu.
Linganisha
Chunguza Methali 8:35
2
Methali 8:13
Kumcha Mwenyezi-Mungu ni kuchukia uovu. Nachukia kiburi, majivuno na maisha mabaya; nachukia na lugha mbaya.
Chunguza Methali 8:13
3
Methali 8:10-11
Chagua mafundisho yangu badala ya fedha; na maarifa badala ya dhahabu safi. “Mimi Hekima nina thamani kuliko johari; chochote unachotamani hakiwezi kulingana nami.
Chunguza Methali 8:10-11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video