1
Mathayo 9:37-38
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Hapo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”
Linganisha
Chunguza Mathayo 9:37-38
2
Mathayo 9:13
Basi, kajifunzeni maana ya maneno haya: ‘Nataka huruma, wala si tambiko.’ Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi.”
Chunguza Mathayo 9:13
3
Mathayo 9:36
Basi, alipowaona watu, makundi kwa makundi, aliwaonea huruma kwa sababu walikuwa hoi na wenye wasiwasi kama kondoo wasio na mchungaji.
Chunguza Mathayo 9:36
4
Mathayo 9:12
Yesu aliwasikia, akasema, “Watu wenye afya hawahitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
Chunguza Mathayo 9:12
5
Mathayo 9:35
Yesu alitembelea miji yote na vijiji, akafundisha katika masunagogi yao akihubiri Habari Njema ya ufalme wa Mungu, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila namna.
Chunguza Mathayo 9:35
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video