1
Walawi 19:18
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Usijilipize kisasi au kuwa na kinyongo dhidi ya wazawa wa watu wako bali umpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.
Linganisha
Chunguza Walawi 19:18
2
Walawi 19:28
Msijitie alama zozote mwilini mwenu kwa ajili ya kuomboleza au kujikatakata mwilini au kujichanja chale. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.
Chunguza Walawi 19:28
3
Walawi 19:2
“Iambie jumuiya yote ya watu wa Israeli hivi: Ni lazima muwe watakatifu kwani mimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ni mtakatifu.
Chunguza Walawi 19:2
4
Walawi 19:17
“Usimwekee kisasi ndugu yako moyoni mwako, bali upatane daima na jirani yako ili usije ukatenda dhambi.
Chunguza Walawi 19:17
5
Walawi 19:31
“Msiwaendee waaguzi wa mizimu wala wachawi ili kuwaomba wawaagulie na hivyo mkajitia najisi. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu.
Chunguza Walawi 19:31
6
Walawi 19:16
Kamwe usipitepite ukiwachongea watu wa jamaa yako. Usiyatie maisha ya jirani yako katika hatari ya kifo kwa maneno yako. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.
Chunguza Walawi 19:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video