1
Ezekieli 23:49
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Na nyinyi Ohola na Oholiba, mtaadhibiwa kutokana na uzinzi wenu na dhambi yenu ya kuziabudu sanamu za miungu. Hapo ndipo mtakapotambua kuwa mimi ni Bwana Mwenyezi-Mungu.”
Linganisha
Chunguza Ezekieli 23:49
2
Ezekieli 23:35
“Kwa hiyo mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Kwa kuwa umenisahau na kunipa kisogo, basi, utawajibika kwa uasherati na uzinzi wako.”
Chunguza Ezekieli 23:35
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video