1
Mhubiri 4:9-10
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwa peke yake. Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yao. Ikijatokea mmoja akaanguka, huyo mwenzake atamwinua. Lakini ole wake aliye peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mtu wa kumwinua!
Linganisha
Chunguza Mhubiri 4:9-10
2
Mhubiri 4:12
Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
Chunguza Mhubiri 4:12
3
Mhubiri 4:11
Hali kadhalika, wawili wakilala pamoja watapata joto; lakini mtu akiwa peke yake atajipatiaje joto?
Chunguza Mhubiri 4:11
4
Mhubiri 4:6
Ni afadhali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani moyoni, kuliko kuwa na mengi, pamoja na taabu; sawa tu na kufukuza upepo.
Chunguza Mhubiri 4:6
5
Mhubiri 4:4
Tena niligundua kwamba juhudi zote za mtu na ujuzi wake katika kazi vyatokana na kuoneana wivu. Hayo nayo ni bure kabisa; ni sawa na kufukuza upepo.
Chunguza Mhubiri 4:4
6
Mhubiri 4:13
Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu, ambaye hasikilizi shauri jema
Chunguza Mhubiri 4:13
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video