1
2 Sam 12:13
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa.
Linganisha
Chunguza 2 Sam 12:13
2
2 Sam 12:9
Kwa nini basi, umedharau neno langu mimi Mwenyezi-Mungu ukafanya uovu huu mbele yangu? Umemuua Uria Mhiti, kwa upanga, ukamchukua mke wake kuwa mkeo. Umewatumia Waamoni kumwua Uria vitani!
Chunguza 2 Sam 12:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video