1
1 Fal 16:31
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Tena, licha ya kuiga mwenendo mbaya wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Ahabu alimwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni; akamtumikia na kumwabudu Baali.
Linganisha
Chunguza 1 Fal 16:31
2
1 Fal 16:30
Ahabu alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kuliko wafalme wote waliomtangulia.
Chunguza 1 Fal 16:30
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video