1
Luka 11:13
Swahili Revised Union Version
SRUV
Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?
Linganisha
Chunguza Luka 11:13
2
Luka 11:9
Nami nawaambia, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
Chunguza Luka 11:9
3
Luka 11:10
Kwa kuwa kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
Chunguza Luka 11:10
4
Luka 11:2
Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.]
Chunguza Luka 11:2
5
Luka 11:4
Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu].
Chunguza Luka 11:4
6
Luka 11:3
Utupe siku kwa siku riziki yetu.
Chunguza Luka 11:3
7
Luka 11:34
Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.
Chunguza Luka 11:34
8
Luka 11:33
Hakuna mtu awashaye taa na kuiweka mahali palipositirika, au chini ya pishi; bali huiweka juu ya kiango, ili waingiao wapate kuuona mwanga.
Chunguza Luka 11:33
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video