1
Marko 15:34
Swahili Revised Union Version
Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
Linganisha
Chunguza Marko 15:34
2
Marko 15:39
Basi yule kamanda, aliyesimama hapo akimwelekea, alipoona ya kuwa alikata roho jinsi hii, akasema, Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.
Chunguza Marko 15:39
3
Marko 15:38
Pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu hadi chini.
Chunguza Marko 15:38
4
Marko 15:37
Naye Yesu akatoa sauti kuu, akakata roho.
Chunguza Marko 15:37
5
Marko 15:33
Na ilipokuwa saa sita, palikuwa na giza juu ya nchi yote, hadi saa tisa.
Chunguza Marko 15:33
6
Marko 15:15
Pilato kwa kupenda kuwaridhisha watu, akawafungulia Baraba; akamtoa Yesu, baada ya kumpiga mijeledi, ili asulubiwe.
Chunguza Marko 15:15
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video