1
Zab 37:4
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Nawe utajifurahisha kwa BWANA, Naye atakupa haja za moyo wako.
Linganisha
Chunguza Zab 37:4
2
Zab 37:5
Umkabidhi BWANA njia yako, Pia umtumaini, naye atafanya.
Chunguza Zab 37:5
3
Zab 37:7
Ukae kimya mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa saburi; Usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu afanyaye hila.
Chunguza Zab 37:7
4
Zab 37:3
Umtumaini BWANA ukatende mema, Ukae katika nchi, upendezwe na uaminifu.
Chunguza Zab 37:3
5
Zab 37:23-24
Hatua za mtu zaimarishwa na BWANA, Naye aipenda njia yake. Ajapojikwaa hataanguka chini, BWANA humshika mkono na kumtegemeza.
Chunguza Zab 37:23-24
6
Zab 37:6
Ataitokeza haki yako kama nuru, Na hukumu yako kama adhuhuri.
Chunguza Zab 37:6
7
Zab 37:8
Ukomeshe hasira, uache ghadhabu, Usikasirike, mwisho wake ni kutenda mabaya.
Chunguza Zab 37:8
8
Zab 37:25
Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.
Chunguza Zab 37:25
9
Zab 37:1
Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.
Chunguza Zab 37:1
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video