1
Hesabu 23:19
Neno
NEN
Mungu si mtu, hata aseme uongo, wala yeye si mwanadamu, hata ajute. Je, anasema, kisha asitende? Je, anaahidi, asitimize?
Linganisha
Chunguza Hesabu 23:19
2
Hesabu 23:23
Hakuna uchawi dhidi ya Yakobo, wala hakuna uaguzi dhidi ya Israeli. Sasa itasemwa kuhusu Yakobo na Israeli, ‘Tazama yale Mungu aliyotenda!’
Chunguza Hesabu 23:23
3
Hesabu 23:20
Nimepokea agizo kubariki; amebariki, nami siwezi kubadilisha.
Chunguza Hesabu 23:20