← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Rum 1:16

Kupokea Neno
Siku 4
Inaweza kuwa vigumu kujaribu kujitolea kusoma na kujifunza Neno. Katika mpango huu, Tony Evans anafundisha juu ya umuhimu wa kusoma na kulijua Neno ili tuweze kuliruhusu kuleta matokeo katika kila eneo la maisha yetu.

Warumi 1
5 Siku
Katika siku tano zijazo, tutachunguza Injili ni nini. Tutaona kuwa Injili ni ujumbe wa Mungu kutoka kwa Biblia na Yesu Kristo kwa watu wote, na ni nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu.

Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023
Siku 28
Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure