← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 74:12

Soma Biblia Kila Siku 05/2026
31 Siku
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Mei. Utasoma kitabu cha Zaburi, 1 Wakorintho, na Luka. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).