← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 65:1

Soma Biblia Kila Siku 2
Siku 28
Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Soma Biblia Kila Siku
31 Siku
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Desemba. Utasoma kitabu cha 1 Yohana . Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).