← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 61:1

Soma Biblia Kila Siku
31 Siku
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Desemba. Utasoma kitabu cha 1 Yohana . Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).