← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zab 137:3

Kusudi La Kiroho
Siku 3
Tukiangalia maagizo ambayo Yeremia alitoa kwa watu waliohamishiwa Babeli, tunaweza kujifunza kweli zinazohusu kutafuta kusudi letu, na hilo tulilo kusudiwa kuwa kwa ajili ya Kristo. Mpango huu wa kusoma na Dk. Tony Evans utaelezea tatu kati ya kweli hizo.