Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yn 8:11

Mimi Niko Aliye Mkuu
Siku 3
Siyo tu kwamba jina la Mungu ni tangazo, lakini ni mojawapo ya majina yenye nguvu zaidi ya Yesu. Katika mpango huu wa kusoma, Dk. Tony Evans anafundisha kuhusu jina hili lenye nguvu na maana yake kwetu kama waumini.

Wimbo: Neema katika Hadithi Yako
5 Siku
Labda umesikia neno "neema", lakini linamaanisha nini haswa? Neema ya Mungu inawezaje kuokoa na kubadilisha maisha yetu? Jifunze jinsi neema hii ya ajabu hukutana nasi mahali tulipo na kubadilisha hadithi zetu.

Anza Tena
Siku 7
Mwaka mpya. Siku Mpya. Mungu aliumba mabadiliko haya ili kutukumbusha kwamba Yeye ni Mungu wa Mwanzo Mpya. Ikiwa Mungu anaweza kusema ulimwengu uwepo, bila shaka anaweza kusema katika giza la maisha yako, akikutengenezea mwanzo mpya. Usipende tu mwanzo mpya! Kama mpango huu wa kusoma. Furahia!

Mwongozo wa KiMungu
Siku 7
Kila siku tunafanya maamuzi ambayo yana unda hadithi ya maisha yetu. Maisha yako yangekuwaje kama ungekuwa bingwa wa kufanya maamuzi? Kwenye Mpango wa Biblia wa Mwongozo wa kimungu, mwandishi mzuri wa New York Times na Mchungaji Kiongozi, Craig Groeschel, anakutia moyo na kanuni saba kutoka kwenye kitabu chake cha Mwongozo wa Kimungu ili kukusaidia kupata busara ya Mungu kwa maamuzi yako kila siku. Gundua mwongozo wa kiroho unaohitaji ili kuishi hadithi ya maisha ya kumheshimu Mungu utakayopenda kuhadithia.

Soma Biblia Kila Siku 2
Siku 28
Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Soma Biblia Kila Siku/AGOSTI 2023
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku Agosti 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu Yohana na Mithali. Karibu kujiunga na mpango huu.

Tafakari Kuhusu Haki
31 Siku
Mfululizo wa tafakari ya kila siku kuhusu haki, ulioandikwa na wanawake kutoka kote katika dunia ya Jeshi la Wokovu. Maswala ya haki ya jamii yako mbele sana ya mawazo yetu siku hizi. Mkusanyo huu wa tafakari kuhusu haki ya jamii umeandikwa na wanawake kutoka kote duniani wenye nia na hamu ya kuwasaidia wengine katika jina la Kristo.