Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yn 16:13

Kusikiliza Kutoka Mbinguni: Kusikiliza kwa ajili ya Bwana katika maisha ya kila siku
Siku 5
Bwana yu hai na anatenda leo, na anazungumza kwa kila mtoto wake moja kwa moja. Lakini wakati mwingine, inaweza kuwa vigumu kumwona na kumsikia. Kwa kuangalia safari ya mtu mmoja kuelekea kuelewa sauti ya Mungu katika vitongoji duni vya Nairobi, utajifunza inakuwaje kumsikia na kumfuata.

Kusikia kutoka Mbinguni: kusikiza Mungu kila siku.
Siku 5
Bwana yu hai na ni mkamilifu leo, na uongea na kila mtoto wake moja kwa moja. Lakini wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kumuona na kumsikia Mungu. Kupitia kuchunguza hadithi ya safari ya mtu mmoja ya kufahamu sauti ya Mungu katika mabanda ya Nairobi, utasoma vile ilivyo kumsikia na kumfuata Mungu.

Mazungumzo na Mungu
Siku 12
Kuongea na Mungu ni furaha ya kuzama katika maisha ya maombi, ukisisitiza njia sahihi za kusikia sauti ya Mungu. Mungu anatutaka tufurahie mazungumzo endelevu pamoja naye katika maisha yetu yote - mazungumzo yanayoleta tofauti katika mwelekeo, mahusiano, na kusudi. Mpango huu umejaa uwazi, hadithi binafsi kuhusu kuufikia moyo wa Mungu. Anatupenda!

Ahadi za kila siku ya maisha yako
30 Siku
Mungu ametupa ahadi tele ambazo tunahitaji kutembea ndani yake. Lakini ni muhimu kuzijua, kuziamini ili tuweze kuziona zikidhirika maishani mwetu. Kila siku, kuna ahadi kwa ajili yako. Unapoanza siku yako, pata kufahamu ahadi hizi!

Somabiblia Kila Siku 3
Siku 31
SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.

Soma Biblia Kila Siku/ Machi 2023
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku/Machi 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha 1 Wathesalonike na Yohana. Karibu kujiunga na mpango huu bure