Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kol 3:13

Upendo na Ndoa
Siku 5
Kwa kuangazia ndoa yetu ndani ya muktadha wa Maandiko, tunampa Mungu fursa ya kufichua maarifa mapya kuhusu uhusiano wetu na kuimarisha kifungo chetu. Mpango huu unaangazia kifungu kilicholenga cha Maandiko na mawazo ya haraka kila siku ili kuanzisha majadiliano na maombi na mwenzi wako. Mpango huu wa siku tano ni ahadi ya muda mfupi ya kukusaidia kuwekeza katika uhusiano wako wa maisha. Kwa maudhui zaidi, angalia finds.life.church

Kuishi mabadiliko ya Mungu.
Siku 5
Kua kiumbe kipya ndani ya Kristo inamaanisha kwamba tukonafanyika upya mara kwa mara kumupitia. Mungu hufanya upya roho zetu, akili, na mwili. Anafanya upya pia hata madhumuni yetu. Kati ya siku hizi 5 za mpango wa usomaji, utapiga mbizi zaidi ndani ya Neno ambalo Mungu husema kuhusu kufanyika upya. Kila siku, utapata usomi wa Bibilia na ibada kwa ufupi ambayo itakusaidia kwa njia kadhaa ya kuishi pia kufanyika upya na Mungu.

Wimbo Wa Neema
Siku 5
Gundua undani wa upendo wa Mungu kwako kupitia ibada hii ya Wimbo wa Neema. Mwinjilisti Nick Hall atakuongoza kupitia ibada yenye nguvu ya siku 5 akikualika kujiunga na Wimbo wa neema ya Mungu unaoimbwa juu yako.

Hekima Kamilifu: Safari ya Siku 7 ya akina Baba
Siku 7
Inashangaza kiasi ambacho baba zetu wanatufinyanga. Hakuna mtu anayeepuka nguvu na mvuto wa baba yao wa kidunia. Na kwa sababu wanaume wengi wanahisi kuwa hawako tayari kuwa baba, ni muhimu kutafuta mwongozo – kwenye Maandiko na kutoka kwa baba wengine. Hekima Kamilifu ni safari kuelekea hekima na busara kwa kina baba, inayohusisha kanuni na hekima kutoka kwenye Maandiko pamoja na uzoefu wa baba mwenye umri mkubwa na hekima zaidi ambaye amejifunza kutokana na makosa yake.

Mpango Bora wa Kusoma
Siku 28
unajisihisi umezidiwa, kutoridhika, na kukwama maishani? Je unatamani maisha yako ya kila siku yaboreke? Neno la Mungu ni mwongozo kwa siku njema. Katika mpango huu wa siku 28, utagundua njia kutoka kuishi tu maisha mema, hadi kuishi maisha mema ambayo Mungu amekutazamia.