Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mdo 13:2

Nuru
5 Siku
Yesu anatueleza katika Agizo Kuu kwamba tunapaswa kwenda na kufanya wanafunzi wa mataifa yote. Lakini mfuasi wa Yesu hufanya wanafunzi vipi? Mpango huu wa usomaji unatoa mfumo wa kibiblia wa jinsi waumini wanavyofundisha wengine kutii kila kitu Yesu alichoamuru, katika kutembea kwao binafsi na Yeye na pamoja na jamii ya waumini.

Mazungumzo na Mungu
Siku 12
Kuongea na Mungu ni furaha ya kuzama katika maisha ya maombi, ukisisitiza njia sahihi za kusikia sauti ya Mungu. Mungu anatutaka tufurahie mazungumzo endelevu pamoja naye katika maisha yetu yote - mazungumzo yanayoleta tofauti katika mwelekeo, mahusiano, na kusudi. Mpango huu umejaa uwazi, hadithi binafsi kuhusu kuufikia moyo wa Mungu. Anatupenda!

Soma Biblia Kila Siku 5
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

Soma Biblia Kila Siku 05/2025
31 Siku
Soma Biblia Kila Siku 05/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Mei pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Matendo ya Mitume, Filemoni na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu