Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 The 5:23

Kumchukua Mungu Kwa Uzito
Siku 3
Kwa sababu tumepata upendo na neema nyingi za Mungu, ni rahisi kuwa mlegevu kuhusu utii. Hatumchukulii Mungu kwa uzito vya kutosha. Tunaacha kumcha na hatuzingatii matokeo ya kutotii kwetu. Mruhusu mwandishi Tony Evans aambaye vitabu vyake vyauzwa sana akufundishe kuhusu baraka zinazotokana na kuweka agano na Mungu na hatari inayotokea tunapoacha kumchukulia kwa uzito.

Jolt ya Furaha
Siku 31
Biblia inatuambia kwamba "Katika uwepo wake kuna furaha tele" na kuwa "furaha ya Bwana ni nguvu yetu". Furaha sio hisia tu bali ni tunda la Roho na mojawapo ya silaha bora katika gala letu la kupigana na kuvunjika moyo, huzuni na kushindwa. Tumia siku 31 ukijifunza ni nini Biblia inasema kuhusu Furaha na kujiimarisha kuwa Mkristo mwenye Furaha bila wasi wasi.

Soma Biblia Kila Siku 5
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

Soma Biblia Kila Siku/ Machi 2023
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku/Machi 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha 1 Wathesalonike na Yohana. Karibu kujiunga na mpango huu bure