← Mipango
Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Sam 13:14

Naweza Kweli Kushinda Dhambi na Majaribu?
Siku 5
Umewahi kujiuliza, “Mbona bado napambana na dhambi hiyo?” Hata mtume Paulo alisema hivyo katika Warumi 7:15: “ Sifanyi ninachotaka, lakini nafanya kile ninachochukia.” Je, tunazuiaje dhambi kusimamisha maisha yetu ya kiroho? Je, hata inawezekana? Hebu tujadili dhambi, majaribu, Shetani, na, kwa shukrani, upendo wa Mungu.

Chuma Hunoa Chuma: Life-to-Life® Mentoring in the Old Testament
Siku 5
Unatamani "kufanya wanafunzi wanaofanya wanafunzi," kufuatana na Yesu katika Agizo Kuu (Mathayo 28:18-20)? Kama ndivyo, yawezekana umeona kwamba inaweza kuwa vigumu kupata watu wa mfano katika mchakato huu. Utafuata mfano gani? Je, kufanya wanafunzi inaonekanaje katika maisha ya kila siku? Hebu tuangalie katika Agano la Kale jinsi watu watano waume kwa wake walivyowekeza kwa wengine, Life-to-Life®.