Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yoh 4:9

Tabia Za Kiungu
4 Siku
Waumini wameitwa kumwiga Yesu Kristo kwa njia nyingi. Tunachunguza tabia tatu za Kimungu ambazo waumini wanapaswa kujitahidi kukumbatia.

Upendo wa Kweli ni nini?
Siku 12
Kila mtu anataka kujua upendo ni kitu gani. Lakini watu wachache huangalia ni nini Biblia inasema kuhusu upendo. Upendo ni mada moja muhimu ya Maandiko na pia wema muhimu zaidi katika maisha ya Kikristo. Mpango huu kutoka Huduma za Thistlebend unashughulikia maana ya kibiblia ya upendo na jinsi ya kuboresha kumpenda Mungu na kuwapenda wengine.

Soma Biblia Kila Siku 06/2020
Siku 30
Soma Biblia Kila Siku 06/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 1 Yohana, Ayubu na Mathayo. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu

Soma Biblia Kila Siku
31 Siku
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Desemba. Utasoma kitabu cha 1 Yohana . Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Isipokuwa imeandikwa vinginevyo, nukuu zote za Biblia katika mpango huu zimechukuliwa kutoka katika Swahili Union Version (SUV).