INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANEਨਮੂਨਾ

YESU AMPONYA MTU ALIYEZALIWA KIPOFU
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.Yesu akasema,
“Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi ni vipofu?”
Yesu akawajibu,
“Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.
ਪਵਿੱਤਰ ਸ਼ਾਸਤਰ
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Pursue, Overtake & Recover All

Conversational Evangelism: How to Respond to 7 Common Questions From Nonbelievers

Chunky Blankets & Deep Breaths

Meaningful Work in Seasons of Transition

Good News at Rock Bottom: A 5-Day Devotional Plan With Ray Ortlund

When God Turns It Around: Hope for Hard Times

Storm Watch

Imitators of God

Keys to Answered Prayer
