INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANEਨਮੂਨਾ

YESU AMPONYA KIJANA MWENYE PEPO
37 Kesho yake, waliposhuka kutoka mlimani, alikutana na umati mkubwa wa watu.
38 Mtu mmoja katika ule umati wa watu akapiga kelele, akasema,
“Mwalimu, naomba umwangalie mwanangu, ndiye mtoto wangu wa pekee.
39 Mara kwa mara pepo mchafu humpagaa na kumfanya apige kelele, kisha humwangusha na kumtia kifafa akatokwa na povu kinywani. Huyo pepo mchafu anamtesa sana na hamwachi ila mara chache.
40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.
Yesu akajibu akawaambia, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, nitakaa nanyi na kuwavumilia mpaka lini? Mlete mwanao hapa.”
Hata yule mtoto alipokuwa akija, yule pepo mchafu akamwangusha, akamtia kifafa.
Lakini Yesu akamkemea yule pepo mchafu amtoke, akamponya yule mtoto, akamrudisha kwa baba yake.
43 Watu wote wakastaajabia uweza mkuu wa Mungu.
ਪਵਿੱਤਰ ਸ਼ਾਸਤਰ
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Related Plans

Homesick for Heaven

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

FruitFULL - Faithfulness, Gentleness, and Self-Control - the Mature Expression of Faith

Ruth | Chapter Summaries + Study Questions

Let Us Pray

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening

Stormproof

Faith in Hard Times

Judges | Chapter Summaries + Study Questions
