1
Yakobo 4:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi mumutii Mungu. Mupingane na Shetani, naye atawakimbia.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:7
2
Yakobo 4:8
Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia. Musafishe mikono yenu, ninyi wenye zambi! Mutakase mioyo yenu, ninyi wenye nia mbili!
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:8
3
Yakobo 4:10
Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:10
4
Yakobo 4:6
Lakini Mungu ametujalia neema kubwa zaidi, kwa maana Maandiko yanasema: “Mungu anapingana na wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:6
5
Yakobo 4:17
Basi, mutu anayejua kutenda mema wala hayatendi, anafanya zambi.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:17
6
Yakobo 4:3
Wakati munapoomba, hamupati kitu kwa sababu munaomba kwa nia mbaya, kwa maana munataka vitu kusudi mutimize tu tamaa zenu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:3
7
Yakobo 4:4
Ninyi watu wasiokuwa na uaminifu! Hamujui kwamba kupenda raha ya dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi yeye anayetaka kupenda raha za dunia anajifanya mwenyewe kuwa adui wa Mungu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:4
8
Yakobo 4:14
Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.
अन्वेषण गर्नुहोस् Yakobo 4:14