1
Mattayo MT. 16:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.
Харьцуулах
Mattayo MT. 16:24 г судлах
2
Mattayo MT. 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na jun ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; na milango ya kuzimu haitalishinda.
Mattayo MT. 16:18 г судлах
3
Mattayo MT. 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litafungwa mbinguni: na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Mattayo MT. 16:19 г судлах
4
Mattayo MT. 16:25
Maana mtu atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza; na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu, ataiona.
Mattayo MT. 16:25 г судлах
5
Mattayo MT. 16:26
Kwa maana atafaidiwa mtu nini akiupata ulimwengu wote, na kupata khasara ya roho yake? au mtu atatoa nini badala ya roho yake?
Mattayo MT. 16:26 г судлах
6
Mattayo MT. 16:15-16
Akawaambia, Na ninyi mwaninena mimi kuwa nani? Simon Petro akajibu, akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.
Mattayo MT. 16:15-16 г судлах
7
Mattayo MT. 16:17
Yesu akajibu, akamwambia, U kheri Simon bar Yunus; kwa kuwa nyama na damu hazikukufunulia haya, bali Baba yangu aliye mbinguni.
Mattayo MT. 16:17 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳнүүд
Бичлэгүүд