1
Luka MT. 19:10
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja illi kutafuta kilichopotea na kukiokoa.
Харьцуулах
Luka MT. 19:10 г судлах
2
Luka MT. 19:38
wakinena Amebarikiwa mfalme ajae kwa jina la Bwana, amani mbinguni, na utukufu palipo juu.
Luka MT. 19:38 г судлах
3
Luka MT. 19:9
Yesu akamwambia, Leo wokofu umefika nyumbani humu, kwa kuwa huyu nae ni mwana wa Ibrahimu.
Luka MT. 19:9 г судлах
4
Luka MT. 19:5-6
Na Yesu, alipofika mahali pale, akatazama juu, akamwona, akamwambia, Zakkayo, shuka upesi; maana leo imenipasa kushinda nyumbani mwako. Akashuka upesi, akamkaribisha kwa furaha.
Luka MT. 19:5-6 г судлах
5
Luka MT. 19:8
Zakkayo akasimama, akamwambia Bwana, Bwana, nussu ya mali zangu ninawapa maskini; na kama nimetoza mtu kitu kwa kumsingizia uwongo ninamrudishia marra nne.
Luka MT. 19:8 г судлах
6
Luka MT. 19:39-40
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wakemee wanafunzi wako. Akajibu, akasema, Nawaambieni kwamba, wakinyamaza hawa, mawe yatapiga kelele.
Luka MT. 19:39-40 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳнүүд
Бичлэгүүд