1
Luka MT. 17:19
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Akamwambia, Simama; enenda zako; imani yako imekuokoa.
Харьцуулах
Luka MT. 17:19 г судлах
2
Luka MT. 17:4
na akikosa marra saba katika siku moja, akakurudia marra saba, akisema, Natubu, msamehe.
Luka MT. 17:4 г судлах
3
Luka MT. 17:15-16
Mmoja wao akiona ya kuwa amepona, akarudi akimtukuza Mungu kwa sauti kuu; akaanguka kufudifudi miguuni pake, akimshukuru; nae ni Msamaria.
Luka MT. 17:15-16 г судлах
4
Luka MT. 17:3
Jihadharini: ndugu yako akikosa, mwonye; akitubu, msamehe
Luka MT. 17:3 г судлах
5
Luka MT. 17:17
Yesu akajiliu, akasema, Si wote kumi waliotakasika? Wale tissa wa wapi?
Luka MT. 17:17 г судлах
6
Luka MT. 17:6
Bwana akasema, Mkiwa na imani kama punje ya kharadali, mngeuambia mzambarau huu, Ngʼoka ukapandwe baharini, nao ungewatiini.
Luka MT. 17:6 г судлах
7
Luka MT. 17:33
Mtu ye yote atakaeisalimisha roho yake ataiangamiza, na mtu ye yote atakaeitoa ataihifadhi.
Luka MT. 17:33 г судлах
8
Luka MT. 17:1-2
AKAWAAMBIA wanafunzi wake, Mambo ya kukosesha hayana buddi kutokea, lakini ole wake mtu yule ayaletae! Ingemfaa huyu zaidi jiwe la kusagia litiwe shingoni pake akatupwe baharini, kuliko kumkosesha mmojawapo wa hawa wadogo.
Luka MT. 17:1-2 г судлах
9
Luka MT. 17:26-27
Na kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa na katika siku za Mwana wa Adamu. Walikuwa wakila, wakinywa, wakioa, wakiozwa, hatta siku ile aliyoingia Nuhu katika safina, gbarika ikafika, ikawaangamiza wote.
Luka MT. 17:26-27 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳнүүд
Бичлэгүүд