1
Yohana MT. 12:26
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Mtu akinitumikia, anifuate: nami nilipo, ndipo na mtumishi wangu atakapokuwapo; tena mtu akinitumikia, Baba atamheshimu.
Харьцуулах
Yohana MT. 12:26 г судлах
2
Yohana MT. 12:25
Aipendae roho yake ataiangamiza; nae aichukiae roho yake katika ulimwengu huu ataihifadhi hatta uzima wa milele.
Yohana MT. 12:25 г судлах
3
Yohana MT. 12:24
Amin, amin, nawaambieni, Punje ya nganu isipoanguka katika inchi ikafa, hukaa katika hali ya peke yake; bali ikifa, hutoa mazao mengi.
Yohana MT. 12:24 г судлах
4
Yohana MT. 12:46
Mimi nimekuja niwe nuru ulimwenguni, illi kilia aniaminiye mimi asikae gizani.
Yohana MT. 12:46 г судлах
5
Yohana MT. 12:47
Na mtu akisikia maneno yangu, asiyashike, mimi simhukumu; maana sikuja niuhukumu ulimwengu, bali niuokoe ulimwengu.
Yohana MT. 12:47 г судлах
6
Yohana MT. 12:3
Bassi Mariamu akatwaa ratli ya marhamu ya nardo safi ya thamani nyingi, akampaka Yesu miguu, akaifuta miguu yake kwa nywele zake; nyumha ikajaa harufu ya yale marhamu.
Yohana MT. 12:3 г судлах
7
Yohana MT. 12:13
wakatwaa matawi ya mitende wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana; Amebarikiwa ajiie kwa jina la Bwana, mfalme wa Israeli.
Yohana MT. 12:13 г судлах
8
Yohana MT. 12:23
Yesu akajibu, akinena, Saa imefika, atukuzwe Mwana wa Adamu.
Yohana MT. 12:23 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳнүүд
Бичлэгүүд