1
Yohana MT. 10:10
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Mwizi haji illa aibe, achinje, aharibu; mimi nalikuja wawe na uzima, na wawe nao tele.
Харьцуулах
Yohana MT. 10:10 г судлах
2
Yohana MT. 10:11
Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema: mchunga aliye mwema huweka maisha yake kwa ajili ya kondoo.
Yohana MT. 10:11 г судлах
3
Yohana MT. 10:27
Kondoo zangu waisikia sauti yangu, nami nawajua, nao wanifuata
Yohana MT. 10:27 г судлах
4
Yohana MT. 10:28
nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe, wala hakuna mtu atakaewapokonya katika mkono wangu.
Yohana MT. 10:28 г судлах
5
Yohana MT. 10:9
Mimi ndimi niliye mlango; mtu akiingia kwa mimi, ataokoka, ataingia, atatoka, na atapata malisho.
Yohana MT. 10:9 г судлах
6
Yohana MT. 10:14
Mimi ndimi niliye mchunga aliye mwema; na walio wangu nawajua, na walio wangu wananijua
Yohana MT. 10:14 г судлах
7
Yohana MT. 10:29-30
Baba yangu aliyenipa ni mkuu kuliko wote; wala hakuna awezae kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu. Mimi na Baba yangu tu nmoja.
Yohana MT. 10:29-30 г судлах
8
Yohana MT. 10:15
kama vile Baba anijuavyo, na mimi nimjuavyo Baba: na uzima wangu nauweka kwa ajili ya kondoo.
Yohana MT. 10:15 г судлах
9
Yohana MT. 10:18
Hakuna mtu aniondoleae, bali mimi nauweka mwenyewe. Nina uweza wa kuuweka, tena nina uweza wa kuutwaa tena. Agizo hili nalilipokea kwa Baba yangu.
Yohana MT. 10:18 г судлах
10
Yohana MT. 10:7
Bassi Yesu aliwaamhia tena, Amin, amin, nawaambieni, Mimi ndimi niliye mlango wa kondoo
Yohana MT. 10:7 г судлах
11
Yohana MT. 10:12
Mtu wa mshahara, na asiye mchunga, ambae kondoo si mali yake, humwona mbwa wa mwitu anakuja, huziacha kondoo, hukimbia; na mbwa wa mwitu huziteka, huzitawanya.
Yohana MT. 10:12 г судлах
12
Yohana MT. 10:1
AMIN, amin, nawaambieni, asiyeingia kwa mlango katika zizi la kondoo, lakini apanda penginepo, huyu ni mwizi na mnyangʼanyi.
Yohana MT. 10:1 г судлах
Нүүр хуудас
Библи
Тѳлѳвлѳгѳѳнүүд
Бичлэгүүд