INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SITAПримерок

BWANA WA MAVUNO
35 Yesu akazunguka katika miji yote na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri habari njema za Ufalme na kuponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi miongoni mwa watu.Alipoona makutano aliwahurumia
kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasio na mchungaji.
37 Ndipo akawaambia wanafunzi wake,
“Mavuno ni mengi lakini watenda kazi ni wachache,
"38 Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watenda kazi katika shamba lake la mavuno.”
Свето Писмо
Опис за овој план

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Слични Планови

Живеј живот со цел!

доверба - да веруваш на тоа што бог го кажува во неговото слово и да живееш во согласност со тоа божјо слово

Библија за деца

Живеј со сила и храброст!

Пет молитви на понизност

Ти имаш молитва!

божиќ о, дојдете да го прославиме!

Отстапи го на Бога првото место

Твојата најдобра инвестиција!
