INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA NANEПримерок

YESU AMPONYA MTU ALIYEZALIWA KIPOFU
Yesu akamjibu, “Umekwisha kumwona, naye anayezungumza nawe, ndiye.”
Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.Yesu akasema,
“Nimekuja ulimwenguni humu kwa ajili ya kuhukumu, ili wale walio vipofu wapate kuona, nao wale wanaoona, wawe vipofu.”
Baadhi ya Mafarisayo waliokuwa karibu naye wakamsikia na kumwambia, “Je, kweli sisi ni vipofu?”
Yesu akawajibu,
“Kama mngekuwa vipofu kweli, msingekuwa na hatia ya dhambi, lakini kwa kuwa mnasema, ‘Tunaona,’ basi mna hatia.
Свето Писмо
Опис за овој план

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Слични Планови

доверба - да веруваш на тоа што бог го кажува во неговото слово и да живееш во согласност со тоа божјо слово

Твојата најдобра инвестиција!

божиќ о, дојдете да го прославиме!

Отстапи го на Бога првото место

Ти имаш молитва!

Што е вистинска љубов?

Живеј живот со цел!

Библија за деца

Живеј со сила и храброст!
