INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA SABAPavyzdys

YESU AWATUMA WANAFUNZI KUMI NA WAWILI
7 Akawaita wale kumi na wawili, akawatuma wawili wawili na kuwapa mamlaka kutoa pepo wachafu.
Akawaagiza akisema, “Msichukue cho chote kwa ajili ya safari isipokuwa fimbo tu. Msichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kwenye mikanda yenu, bali mvae viatu, lakini msivae nguo ya ziada.”
10 Akawaambia, “Mkiingia kwenye nyumba yo yote, kaeni humo hadi mtakapoondoka katika mji huo.Kama mahali po pote hawatawakaribisha wala kuwasikiliza,mtakapoondoka huko,
kung'uteni mavumbi yaliyoko miguuni mwenu, ili kuwa ushuhuda dhidi yao.”
12 Kwa hiyo wakatoka na kuhubiri kwamba inawapasa watu kutubu na kuacha dhambi.
13 Wakatoa pepo wachafu wengi, wakawapaka wagonjwa wengi mafuta na kuwaponya.
Šventasis Raštas
Apie šį planą

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Susiję planai

Koks mano tikslas? Mokomės mylėti Dievą ir kitus žmones

Meilė ir santuoka, autorius Billy Graham

Džiaugsmas kelionėje: Atrandant viltį išmėginimų sūkuryje

Sėklos: Kokios ir kodėl

Kelkis ir nušvisk

Himnas: Malonė tavo istorijoje

Išrinkta – atskleidžiant moterį Kristuje

Paveskite savo rūpesčius

Kelionė Luko evangelija ir Apaštalų darbais
