YouVersionロゴ
聖書読書プランビデオ
アプリを入手
言語選択
検索アイコン

Mwanzo 2の有名な聖句

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndiyo maana mwanamume humwacha baba yake na mama yake, akaambatana na mkewe, nao wawili huwa mwili mmoja.

比較

Mwanzo 2:24で検索

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kisha Mwenyezi-Mungu akasema, “Si vizuri huyu mwanamume kuwa peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

比較

Mwanzo 2:18で検索

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.

比較

Mwanzo 2:7で検索

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Ndipo huyo mwanamume akasema, “Naam! Huyu ni mfupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamke’, kwa sababu ametolewa katika mwanamume.”

比較

Mwanzo 2:23で検索

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alipumzika baada ya kazi yake yote ya kuumba.

比較

Mwanzo 2:3で検索

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Huyo mwanamume na mkewe wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

比較

Mwanzo 2:25で検索

前章
次章
YouVersion

日々、神との親しい交わりを求めるために、あなたを励まし、勇気を与えます。

ミニストリー

概要

キャリア

ボランティア

ブログ

プレス

便利なリンク集

ヘルプ

寄付

聖書の訳

オーディオ聖書

聖書の言語

今日の聖句


デジタルミニストリー

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

プライバシー規約利用規約
脆弱性の開示
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

ホーム

聖書

読書プラン

ビデオ