INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMICampione

YESU AMPONYA MWOMBAJI KIPOFU
"35 Yesu alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.Kipofu huyo aliposikia umati wa watu ukipita, akauliza, “Kuna nini?” Wakamwambia,“Yesu wa Nazareti anapita.”
38 Akapaza sauti, akasema, “Yesu, Mwana wa Daudi, unirehemu!”
39 Wale waliokuwa wametangulia mbele wakamkemea wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, unirehemu!”
40 Yesu akasimama, akawaamuru huyo mtu aletwe kwake. Alipokaribia,
Yesu akamwuliza,
41 “Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana, nataka kuona.”
42 Yesu akamwambia, “Basi upate kuona, imani yako imekuponya.”
43 Akapata kuona saa ile ile, akamfuata Yesu, huku akimsifu Mungu. Watu wote walipoona mambo hayo, nao wakamsifu Mungu.
Scrittura
Riguardo questo Piano

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Piani Collegati

Il Potere della Gratitudine

La Mia Pace - Impara a Camminare Nella Pace Che Gesù Ti Ha Lasciato

EquipHer Vol. 27: "Le Trincee della Vita"

Spezzati per Rinascere

Quando Dio Incontra L'AI: Come L'Intelligenza Divina Rivela L'intelligenza Artificiale

Conoscere lo Spirito Santo

Nel business con Dio: Fede, Visione E Azione

10 Chiavi per Ricevere Risposta Alla Preghiera

Misura L’inimmaginabile
