INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMICampione

YESU AWABARIKI WATOTO WADOGO
15 Pia, watu walikuwa wakimletea Yesu watoto wachanga ili awaguse. Wanafunzi wake walipoona hivyo, wakawakemea.
16 Lakini Yesu akawaita wale watoto waje kwake, akasema,
“Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa watu walio kama hawa watoto.
17 Amin, nawaambia, ye yote ambaye hataupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hatauingia kamwe.”
Scrittura
Riguardo questo Piano

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Piani Collegati

Il Potere della Gratitudine

La Mia Pace - Impara a Camminare Nella Pace Che Gesù Ti Ha Lasciato

EquipHer Vol. 27: "Le Trincee della Vita"

Spezzati per Rinascere

Quando Dio Incontra L'AI: Come L'Intelligenza Divina Rivela L'intelligenza Artificiale

Conoscere lo Spirito Santo

Nel business con Dio: Fede, Visione E Azione

10 Chiavi per Ricevere Risposta Alla Preghiera

Misura L’inimmaginabile
