1
Kumbukumbu la Sheria 16:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wote watatoa kadiri wanavyoweza kulingana na baraka Yawe, Mungu wenu, alizowajalia.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 16:17
2
Kumbukumbu la Sheria 16:19
Musipotoshe haki, musikuwe na upendeleo, wala musikubali kupokea kituliro, kwa kuwa kituliro kinapofusha macho ya watu wenye hekima na kupotosha maneno ya mutu mwenye haki.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 16:19
3
Kumbukumbu la Sheria 16:16
“Wanaume wote wa taifa lenu watakuja mbele ya Yawe, Mungu wenu, mara tatu kila mwaka, pahali ambapo Yawe, Mungu wenu atachagua: wakati wa sikukuu ya Pasaka, sikukuu ya kuvuna na wakati wa sikukuu ya vibanda. Wasitokee mbele ya Yawe mikono mitupu.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 16:16
4
Kumbukumbu la Sheria 16:20
Mutafuata yanayokuwa ya haki tu, kusudi mupate kuishi na kurizi inchi munayopewa na Yawe, Mungu wenu.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 16:20