1
Kumbukumbu la Sheria 15:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mumupe ndugu masikini kwa moyo safi bila kunungunika, maana kwa ajili ya hayo, Yawe, Mungu wenu, atawabariki katika kazi zenu zote na katika kila munalofanya.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 15:10
2
Kumbukumbu la Sheria 15:11
Wamasikini hawatakosekana katika inchi; hivyo ninawaamuru, mukuwe wenye moyo safi kwa wandugu zenu wenye mahitaji na wamasikini katika inchi yenu.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 15:11
3
Kumbukumbu la Sheria 15:6
Yawe, Mungu wenu, atawabariki kama vile alivyowaahidi. Nanyi mutayakopesha mataifa mengi, lakini ninyi hamutakopa. Vilevile mutatawala mataifa mengi, lakini mataifa hayo hayatawatawala ninyi.
Nyochaa Kumbukumbu la Sheria 15:6