INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TISAMinta

YESU AWAPONYA WENYE UKOMA KUMI
11 Yesu alipokuwa njiani akienda Yerusalemu, alipitia mpakani mwa Samaria na Galilaya.
"12 Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13 wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
"Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17 Yesu akauliza, “Je, hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19 Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Szentírás
A tervről

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Kapcsolódó tervek

A NÉGY: Az Evangélium üzenete négy egyszerű igazságon keresztül

Mi életem célja? Szeretni Istent és embertársaimat

Az „Imádkozom Érte”

Himnusz:Kegyelem az életedben

A MAG

A hűségesen kereső Isten – Aki visszavezet minket magához

„Bizony hamar eljövök!”

Isten Fegyverzete - Isten Védelmében és Erejében Járni

Jézusban maradni – A gyümölcsöző élet kulcsa
