Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

16 jours
Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg
Plans suggérés

ILLIMITÉ

Une Randonnée Biblique en Montagne

Les portes démoniaques

Quatre disciplines oubliées qui transforment votre vie spirituelle

Transcender: Une marche avec Moïse (Psaumes 90)

Journée mondiale de prière pour les universitaires: Guide de prière de 40 jours

Dieu veut vous parler !

Enveloppé : Une réflexion sur les promesses de Dieu au Psaume 91

Les 5 choses qui BRISENT le coeur du Saint-Esprit
