INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TANOUkázka

MFANO WA UFALME WA MBINGUNI
44a “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena.
44b Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”
45 “Tena, Ufalme wa Mbinguni unafanana na mfanya biashara aliyekuwa akitafuta lulu safi.
46 Alipoipata lulu moja ya thamani kubwa, alikwenda akauza vyote alivyokuwa navyo akainunua.”
"47-48 “Tena, Ufalme wa Mbinguni ni kama wavu wa kuvua samaki uliotupwa baharini ukavua samaki wa kila aina.Ulipojaa, wavuvi wakavuta pwani, wakaketi na kukusanya samaki wazuri kuwaweka kwenye vyombo safi, lakini wale samaki wabaya wakawatupa."
49-50 Hivi ndivyo itakavyokuwa wakati wa mwisho wa dunia.
"Malaika watakuja na kuwatenganisha watu waovu na watu wenye haki.Nao watawatupa hao waovu katika tanuru la moto ambako kutakuwa na kilio na kusaga meno.”
“Je, mmeyaelewa haya yote?”
Wakamjibu, "Ndiyo"
Akawaambia,
“Basi kila mwalimu wa sheria aliyefundishwa elimu ya Ufalme wa Mbinguni ni kama mwenye nyumba anayetoa kutoka katika ghala yake mali mpya na mali ya zamani.”
Yesu alipomaliza kutoa mifano hii, akaondoka.
Písmo
O tomto plánu

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Podobné plány

Radujme se

Svoboda

Ester: Pro chvíli, jako je tato

Zkus se modlit

Zůstávejme v Ježíši: Přinášejme trvalé ovoce (Love God Greatly/Miluj Boha nesmírně)

Milost ve vašem příběhu

Porazit sebevědomí a úzkost

Uvědomit si, že Bůh mě miluje

Co je mým účelem? Nauč se milovat Boha a milovat druhé lidi
