1
Mwanzo 46:3
Neno
NEN
Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako. Usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.
Porovnat
Zkoumat Mwanzo 46:3
2
Mwanzo 46:4
Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yusufu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”
Zkoumat Mwanzo 46:4
3
Mwanzo 46:29
Yusufu aliandaa gari lake la vita, na akaenda Gosheni kumlaki baba yake, Israeli. Mara Yusufu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.
Zkoumat Mwanzo 46:29
4
Mwanzo 46:30
Israeli akamwambia Yusufu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”
Zkoumat Mwanzo 46:30