Soma Biblia Kila Siku 8预览

Soma Biblia Kila Siku 8

31天中的第24天

Pilato akawaambia ... mimi sioni hatia kwake. Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu(m.6-7). Sheria hiyo inasomeka katika Law 24:16:Yeye atakayelikufuru jina la Bwana hakika atauawa! Ajabu yake ni kwamba katika upofu wao Wayahudi wenyewe waliangukia dhambi hiyo ya kumkufuru Mungu! Maana wakadai: Sisi hatuna mfalme ila Kaisari(m.15). Na Wayahudi hawaruhusiwi kamwe kumkiri mfalme mwingine isipokuwa Mungu mwenyewe! Mungu ndiye mfalme wetu pia.

读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku 8 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku hasa katika kitabu cha Matendo ya Mitume, Kumbukumbu la Torati, na Yohana pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.

More