INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA预览

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA

7天中的第6天

  

YUDA ANAKUBALI KUMSALITI YESU

Kisha mmojawapo wa wale kumi na wawili, aitwaye Yuda Iskariote, alikwenda kwa viongozi wa makuhani na kuuliza, 

“Mtanipa nini nikimtia Yesu mikononi mwenu?”

"Wakamlipa vipande thelathini vya fedha.Tangu wakati huo Yuda akawa anatafuta wasaa mzuri wa kumsaliti Yesu."

读经计划介绍

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana

More