INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA预览

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA

7天中的第1天

  

SADAKA YA MJANE MASKINI

"Kisha Yesu akaketi mkabala na sehemu sadaka zilikokuwa zinawekwa na kuangalia umati wa watu wakati wakitoa fedha zao kwenye hazina ya Hekalu. Matajiri wengi wakaweka kiasi kikubwa cha fedha.Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia, 

“Amin, amin, nawaambia, huyu mjane maskini ametoa zaidi katika hazina kuliko wengine wote.Wengine wote wametoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mjane kutokana na umaskini wake, ametoa kila kitu alichokuwa nacho, hata kile alichohitaji ili kuishi.”

读经计划介绍

INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA KUMI NA MOJA

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana

More