Waroma 7:5 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 7:5 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
Shirikisha
Waroma 7 BHNWaroma 7:5 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana tulipokuwa katika hali ya mwili, tamaa za dhambi, zilizokuwako kwa sababu ya torati, zilitenda kazi katika viungo vyetu hata mkaizalia mauti mazao.
Shirikisha
Waroma 7 SUVWaroma 7:5 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana tulipokuwa katika hali ya mwili, tamaa za dhambi, zilizokuwako kwa sababu ya torati, zilitenda kazi katika viungo vyetu hata mkaizalia mauti mazao.
Shirikisha
Waroma 7 SRUVWaroma 7:5 NEN (Neno)
Kwa maana tulipokuwa tunatawaliwa na asili ya dhambi, tamaa za dhambi zilizochochewa na sheria zilikuwa zikitenda kazi katika miili yetu, hivyo tulizaa matunda ya mauti.
Shirikisha
Waroma 7 NEN