Waroma 3:8 - Linganisha Matoleo Yote
Waroma 3:8 BHN (Biblia Habari Njema)
Ni sawa na kusema: Tufanye maovu ili tupate mema! Ndivyo wengine walivyotukashifu kwa kutushtaki kwamba tumefundisha hivyo. Watahukumiwa wanavyostahili!
Shirikisha
Waroma 3 BHNWaroma 3:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa nini tusiseme (kama tulivyosingiziwa, na kama wengine wanavyokaza kusema ya kwamba twasema hivyo), Na tufanye mabaya, ili yaje mema? Ambao kuhukumiwa kwao kuna haki.
Shirikisha
Waroma 3 SUVWaroma 3:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa nini tusiseme (kama tulivyosingiziwa, na kama wengine wanavyokaza kusema ya kwamba twasema hivyo), Na tufanye mabaya, ili yaje mema? Ambao kuhukumiwa kwao kuna haki.
Shirikisha
Waroma 3 SRUVWaroma 3:8 NEN (Neno)
Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja”? Wao wanastahili hukumu yao.
Shirikisha
Waroma 3 NEN